Blog

  • Jinsi ya kuongeza mauzo kwa kutumia duka Mtandao?

    Duka Mtandao ni sehemu ambayo unaweza kuweka bidhaa zako kwa mfumo wa picha na bei (digitally)

    kama ulivyokuwa kwenye duka la kawaida (local shop) ,duka la mtandao utumia zaidi utepe wako wa kidijitali kunasa wateja.

    Watu wengi siku hizi wamekuwa wakisambaza bidhaa zao kwenye Mitandao ya kijamii na pengine hawana duka la kawaida.

    kuna pesa nyingi inakupita wewe mfanya biashara ambae hujajua umuhimu wa mtandao.

    FAIDA ZA KUTUMIA DUKA MTANDAO.

    1: unawafikia wateja wapya

    wengi wetu tunategemea wateja wa zamani ambao wanatujua au wanajua tunafanya biashara gani.

    kuwafikia wateja wapya umekuwa changamoto na upelekea tuwe na mauzo kiduchu.

    2:Ni rahisi mteja kuangalia bidhaa zako zote.

    hakuna kitu kinatumia muda kama kutuma picha kila wakati kwa wateja wako .muda mwingine unaweza kuwa busy ukashindwa kuwatumia picha wateja wako .Ukiwa na duka Mtandao ,utaweka bidhaa zako zote sehemu moja na mteja akitaka bidhaa utamtumia link atakutana na bidhaa zako zote zikiwa na bei .

    3:Kuongeza Uaminifu na kukuza chapa yako .

    unajua hakuna kitu kizuri kama kuwa na biashara ambayo itadumu ata kama utakuwa haupo.

    ukiwa na chapa yako nzuri na ukatenngeza jina zuri,wateja watapenda kuwa Karibu yako siku zote na kuiamini bidhaa yako.

    unaweza kuwa mkubwa ukianza kuamini kwenye ndoto yako .

    4:Inakusaidia kuendelea kuuza ata kama huna bidhaa.

    unaweza ukawa huna bidhaa Ila rafiki yako anayo,ukapata mteja kupitia Mtandao na yupo mbali ,unaweza kutoa kwa rafiki yako ukamtumia mteja wako na ukabaki na faida.

    5:kuwafikia wateja wa kimataifa.

    wateja kutoka nchi jirani wanaitaji bidhaa zako Ila shida hawakujui,fungua duka la mtandao Leo ujulikane.

    JINSI YA KUFUNGUA DUKA MTANDAO.

    duka Mtandao ni tofauti na akaunti ya mitandao ya kijamii.

    bw.kened delly aliwahi kusema

    ’’instagram isn’t for selling but for sharing’’

    mitandao ya kijamii ni kwa ajiri ya kusambaza Ila sio kuuza.

    anamaanisha kwamba.

    kwenye mitandao ya kijamii wengi utembelea wakiwa na shida zao tofauti ya manunuzi,ingawa wanunuzi wapo.kule unatakiwa kutengeneza machapisho yanayovutia (engaging content) Ili mtu afanye maamuzi ya kununua.

    ebu fikiria Wewe upo busy na biashara yako huo muda kuandaa machapisho unatoa wapi?

    zipo sehemu za kuuza ambazo watembeleaji wake wanakuja kufuata bidhaa tuu (shopping)

    na hizo ni marketplace kama Bishoo .

    wateja wanaotembelea Bishoo huja kutafuta bidhaa ili wanunue,wakiona bidhaa kama yako lazima watafanya maamuzi sahihi kununua.

    kwahyo sehemu ya kufungua duka la mtandao ni kwenye Mitandao ya kuuza (marketplace)

    JE UTAANZIA WAPI KUFUNGUA DUKA LA MTANDAO?

     

  • Je! Unaweza kuuza vitu used wapi?

    wengi wetu tunaishi na vitu tulivyoacha matumizi navyo kwa mfano TV za chogo,masofa ya zamani,vinanda,vitanda na nk.

    Hivi vitu havina matumizi yoyote na uendelee kukaa kwenye mazingira yetu kwa kuchukua nafasi (store).

    Unatakiwa kuviuza ili urudishe asilimia ya pesa uliyotumia kununua.

    unaweza kufikiri hakuna wateja wa hivyo vitu?

    la hasha! Wateja ni wengi sana na wanaitaji kununua hivyo vitu vyako.

    labda nikueleze jambo moja ,watu wengi upendelea kununua vitu vilivyotumika wakati wa matatizo ya kifedha.

    Watu wanapenda kununua sana vitu vilivyotumika ndio maana ukitembea mtaani kwako utakutana na maduka mengi ya vitu used.

    Je ni wapi unaweza kuuza vitu used?

    Mara nyingi Hilo limekuwa swali la kujiuliza na linakupa mashaka mwakubwa.

    unaweza kuuza bidhaa/vitu vilivyotumika kwenye mitandao kwa urahisi zaidi.

    Mtandao wa Bishoo unakuwezesha wewe kuuza bidhaa yako iliyotumika na kupata wateja kwa haraka sana.

    BISHOO ukiwa mtandao ambao unalenga kuwafanya kila watumiaji wake wafanya biashara ,umeweka onyesho la kuchagua Hali ya bidhaa yako kama imetumika au mpya.

    Ni muda wa kurudisha asilimia kadhaa ya ile gharama uliyotoa awali kununua hivyo vitu.

  • Jifunze jinsi ya kujisajiri kwenye bishoo

    Manual – Cover Page

    bishoo ni mtandao ambao unakupa urahisi kujisajiri na kuwafikia wanunuzi au wauzaji kwa haraka sana.

    soma pdf hii ya dakika 2 ujue namna ya kujisajiri kwa haraka.Pakua pdf hapo juu

     

  • Which is Safe Way To Shop Online in Africa?

    issue of trusting in Africa is still a problem,

    many buyer complain about lossing money(Fraudulent )or getting Low Quality if not Expected products .

    Some of credit/debit cards are not working fine in Africa but people prefer paying cash .

    sometimes buyers visit shop to buy direct ( Local pickup)or Request Cash on Delivery (COD)

    both of ways are safe for buyer and seller .

    The Question arise maybe you’re in mwanza you need to buy something you seen online by which a seller is in Dar es salaam.

    probably it’s hard to trust a stranger ,even a seller if asked to enable cash on delivery (COD) ,it will be hard since it’s a time consuming process and sometimes lost of money since it’s too far.

    following the above scenario,Bishoo is willing to launch Bishoo Assurance a best way to pay online for Buyer buying physical good from strangers he never meet .

    How Bishoo Assurance Works?

    Bishoo assurance works likes the bridge between buyer and seller .

    seller must be a registered seller on bishoo.co.tz and must comply with this service .

    A buyer has right to pay money direct to Bishoo ,then confirmation slip will be send to the seller to ship the good to the buyer .

    If a buyer receive the good and agree with what he requested from a seller,then we will release money to the buyer .

    if shipping is not made accordingly to agreement Time then the money will be Returned automatically to the buyer.

    seller is responsible to inform a buyer about the changes on schedule of shipping or any delay .

    if a buyer disagree with products Quality or condition of products then Money will be refunded back to the buyer ,the products will shipped back to seller (Bishoo will stay in between , keeping the smooth environment between buyer and seller since the first day they started making deal).

    This service is coming soon ,please subscribe to our newsletter to get informed when it’s launched.

    how do you This this may combat Fraud in Tanzania? Give us comment.