jinsi ya kuandaa Tangazo Linalouza.

Natambua umeangaika sana Kuandaa Tangazo (ads) Linalouza kwa haraka.Nataka nikwambie upo sehemu sahihi,endelea kusoma Uzi huu utakusaidia. Ni vigumu kujua kama utauza au lah Ila Kikubwa ni kujaribu kila aina ya njia. kuuza kunaanzia kwenye content unavyoiandaa,picha unazoweka,Bei na huduma…

Read More

Je! Unaweza kuuza vitu used wapi?

wengi wetu tunaishi na vitu tulivyoacha matumizi navyo kwa mfano TV za chogo,masofa ya zamani,vinanda,vitanda na nk. Hivi vitu havina matumizi yoyote na uendelee kukaa kwenye mazingira yetu kwa kuchukua nafasi (store). Unatakiwa kuviuza ili urudishe asilimia ya pesa uliyotumia…

Read More

How To Sell Faster?

Bishoo is Not a Social Network but its Ads listing site. Visitors comes to see new deals either to buy ,rent,exchange or Sell. You don’t need to explain more about the products itself since you’re in a site that sell…

Read More