Ni kwa jinsi gani unaweza kuongeza wateja kwenye huduma yako
Unaweza ukawa mtu wa kusafisha vyoo, nyumba na magari na pengine huna sehemu maalumu ya kufanyia kazi unamfata mteja.kiukweli kupata mteja ni jambo gumu sana.
Unaweza kuwa una saloon ya kusuka au kunyoa
unaweza kuwa fundi viatu au ukawa mtu unaehuska na sheria (law officer)
watu wanatamani kujua huduma yako na pengine unatoa huduma bora kuzidi wengine..
Ila haujulikani, nani atakupa kazi kama hufahamiki?
Unamiliki massage au umefungua restaurant mpya au unauza simu na computer ..sogea karibu na wateja wako utengeneze kipato ..
mtandao wa bishoo tanzania unaitaji huduma zako .
weka huduma hizo bure kabisa uanze kuvutia wateja wa eneo lako.
Bishoo tanzania inakuletea njia nyepesi ya kufikia wateja wa mitandao yote .
ukiweka tangazo lako utakuwa umeliweka kwenye Instagram, Facebook,TikTok automatically.
ni rahisi sana kutangaza ndani ya bishoo tanzania.
fauta njia hizi uanze kuuza .
1:tembelea http://www.bishoo.co.tz
2: tengeneza akaunti yako kwa kubonyeza picha ya ungo mtu
itakuleta kwenye kujisajiri, utaweka majina,email na password .kama una akaunti ya Google au Twitter unaweza kutumia hiyo akaunti kutengeneza akaunti yako
3: Ukimaliza kuwa na akaunti sasa unaweza kuanza kujaza bidhaa au huduma unayotoa. Bonyeza (post ads)
4: chagua Aina ya fomu ya tangazo lako kama unataka kuuza gari,nyumba,huduma au matangazo mchanganyiko
5: ukichagua huduma (service) utajaza Kila nafasi kuanzia title (kichwa cha huduma).maelezo kuhusu hiyo huduma,utachagua huduma unayotoa na maelezo mengine ..
Ni rahisi sana kuuza na kununua kwenye bishoo.
kwa maelezo zaidi piga 0788075633